MICHEZO
April 20, 2018
MICHEZONI LEO
inazo endelea kubamba ni raia wa Togo anae kipiga huko Ethiopia ktk club ya walloyta dicha FC #arafat djako kuhitajika jangwani
Kiukweli ni mzuri anauwezo wa kumiliki na kukimbia na mpira hata finishing yupo OK.
Swali je scout ya yanga imejiridhisha na afya ya huyo mchezaji
Ameonekana 2 game kucheza vizuri na zinatosha kujiridhisha lkn afya ndio kila kitu
Musiingie chaka yanga mukaja ongeza majeruhi jangwani.
Kupotea njia ndio kujua njia