Breaking

TANGAZO...|| PAKUA/ DOWNLOAD APP YA "TWAPLUS APP" USOME HABARI ZOTE HATA USIPOKUWA NA MB... BOFYA HAPA CHINI

Friday, 20 April 2018

MICHEZONI LEO


inazo endelea kubamba ni raia wa Togo anae kipiga huko Ethiopia ktk club ya walloyta dicha FC #arafat djako kuhitajika jangwani

Kiukweli ni mzuri anauwezo wa kumiliki na kukimbia na mpira hata finishing yupo OK.

Swali je scout ya yanga imejiridhisha  na afya ya huyo mchezaji

 Ameonekana 2 game kucheza vizuri na zinatosha kujiridhisha lkn afya ndio kila kitu

Musiingie chaka yanga mukaja ongeza majeruhi jangwani.

 Kupotea njia ndio kujua njia

No comments:

Post a Comment