Breaking

TANGAZO...|| PAKUA/ DOWNLOAD APP YA "TWAPLUS APP" USOME HABARI ZOTE HATA USIPOKUWA NA MB... BOFYA HAPA CHINI

Friday, 20 April 2018

HATUNAYE YENAA


REAKING: Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Video Vixen maarufu Agnes Gerald 'Masogange' amefariki dunia katika Hospital ya Mama Ngoma Mwenge. Imethibitishwa na Wakili wake.

Rest In Peace Agnes Gerald "Masogange"

No comments:

Post a Comment