Breaking

TANGAZO...|| PAKUA/ DOWNLOAD APP YA "TWAPLUS APP" USOME HABARI ZOTE HATA USIPOKUWA NA MB... BOFYA HAPA CHINI

Thursday, 12 April 2018

ZITO ANYOSHA MIKONO KWA JPM


ZITTO AFUNGUKA MAZITO*
"Rais Magufuli anapambana na rushwa. Namuunga mkono katika vita dhidi ya rushwa. Anayempinga Magufuli kwa vyovyote vile anatetea wala rushwa na mafisadi. Anayempinga Magufuli ni yule anayeogopa viwanda na mashamba yaliyobinafsishwa  bila tija kurudishwa kwa umma." Zitto Zubeir Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini Na Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.

No comments:

Post a Comment