Breaking

TANGAZO...|| PAKUA/ DOWNLOAD APP YA "TWAPLUS APP" USOME HABARI ZOTE HATA USIPOKUWA NA MB... BOFYA HAPA CHINI

Thursday, 19 April 2018

CHADEMA -YAWAKA MOTO


iwani wa CHADEMA kata Songoro ktk halmashauri ya Meru, Ndugu Charles Nnko amejiuzulu nafasi yake ya udiwani na nyadhifa zake zote ndani ya chama na kutangaza kujiunga na CCM. Huyu anakuwa diwani wa 80 kujiuzulu kwa mujibu wa takwimu  zisizo rasmi tangu 2016.

No comments:

Post a Comment